no one like you
Member
- Aug 27, 2014
- 43
- 11
Niliaply ualimu diploma, jina ABEL G KIKIMBA, nimesoma madibira 2013 na nilipata two, nilituma maombi wizara ya elimu.
sijaliona jina lako mkuu, weka index no. tujarb na hiyo labda
sijaliona jina lako mkuu, weka index no. tujarb na hiyo labda
nimeona jina langu jaman,nimechaguliwa kwenda chuo cha ualimu mtwara