Maryam Hassan
Member
- Aug 21, 2013
- 11
- 3
Umepangiwa VETA tawi la mtwara kulipoti mwisho tar 19/9/2013.! Kajipangee alafu urudi tena
asante..
nashukuru kwa kunielewa.. nilichagua duce,udom,udsm,jordan,udom..if poscible naomba uniangalizie..
Karibu bibie. Hii ndo Jf the home of coctail of GT and non GT .kama hujui ni vema ungesema cjui tupo kusaidiana na sio hvyo unavyofanya cjapendezwa..
nashukuru kwa kunielewa.. nilichagua duce,udom,udsm,jordan,udom..if poscible naomba uniangalizie..
nashukuru kwa kunielewa.. nilichagua duce,udom,udsm,jordan,udom..if poscible naomba uniangalizie..
wewe Chatt55 m_a_k..u naona unanifuatiliaa!! Me co kilaza kama wewe course nayoenda mm kusoma pale ARDHI(UCLAS) ww huwez ukasoma na hiyo HKL yakoo.! Ndo maana ww unaenda kusomaa ualimuu!! By the way labda wewe ndo umetumiwa sms na hao Arbishop mihayo kilazaaa mkubwaa ww
Umepangiwa VETA tawi la mtwara kulipoti mwisho tar 19/9/2013.! Kajipangee alafu urudi tena