we ni kilaza tu kubali hata vyuo vyenyewe huvijui unaropoka ropoka tu,na liwilaya lako la Rombo hilo cku hz wanatoa huduma bure kila hospitali wahi!!!
nashukuru mwaya ila tumeumbwa tofauti wengne wapo kuwakwaza wenzao..
cheki sasa ulivyokuwa hujielewi wewe dada! Me nipo dar wilaya ya ilala tenaa @ sasa hiyo wilaya yangu ya Rombo nimeitoa wapi?? n_ge_ms_e kilazaaa ww
nashukuru mwaya may allah bles u..[/QU same 2 u bibie
just challenge tuu Maryam Hassan.! Ila ombi lako halijakamilika/halijaeleweka, tcu bado hatwajatoa post officially, unaotuona tunatamba humu ndani ni wale tulioona post kupitia airtel yatosha siku ya j'mosi na wengine kupitia vyuo husika ambavyo tayari wamesha publish majina kupitia mitandao yao ya vyuo mfano; cbe ,ita,st joseph,mount meru, jordan, arushaa university, arbishop mihayo.! So kwan wewe ulioomba vyuo gan tukusaidiee
Dada inabidi uwazoee hawa watu Darius oil sumu tena huyu ndo kichwa mbovu mpigamsuli chatts55 man of steel
kama sio hvo basi humu utapaona pachungu.
nashukuru mwaya ila tumeumbwa tofauti wengne wapo kuwakwaza wenzao..[/QU zisikutishe hizo species za akina oil sumu dadaangu hazina chochote.
rombo yako
haahaahaa ngoja nifikirie inaweza ikawa mkweli mkuu chatts55 coz nina demu wa kichagaa ngoja nimuulize anatokaa wilaya gani ila alishawah kuniambia kuwa ni mmarangu! Vp marangu ipo wilaya gan? Fungukaaa mkuu
nashukuru mwaya may allah bles u..[/QU same 2 u bibie
achana nao hao wapuuzi..yaan wanazingua balaa..hata kama upo serious wataleta ujinga2..yaan wanaelekea wamesoma maporini so wamekuja mjini kwa shemeji zao ndio wameanza kujua social network..
hahahaha! basi bwana!
achana nao hao wapuuzi..yaan wanazingua balaa..hata kama upo serious wataleta ujinga2..yaan wanaelekea wamesoma maporini so wamekuja mjini kwa shemeji zao ndio wameanza kujua social network..
Ila usimuombe no.za cm