Naomba mniangalizie nimepangiwa chuo gani na tcu

Status
Not open for further replies.
Halafu na ww mkulya usijifanye inajua sana, kwanza nyie wapi na wapi na kusoma! nyie mshazoea kuvaa magwanda tu.
usijidai mwema kwa huyo binti hapo unatoka kavu.

We kabila gan kama sio mnyarwanda naona snura ashakuvuruga ,
 
Umepangiwa VETA tawi la mtwara kulipoti mwisho tar 19/9/2013.! Kajipangee alafu urudi tena

Kweli nimeamini mse.nge hana mkole. Sasa ndio majibu gani kumjibu mtu ambaye huna uhakika na ufahamu wake kuhusu JF, angalia kiburi hicho mdogo wangu...
 
Kweli nimeamini mse.nge hana mkole. Sasa ndio majibu gani kumjibu mtu ambaye huna uhakika na ufahamu wake kuhusu JF, angalia kiburi hicho mdogo wangu...

wewe acha kiherehere utapakatwaa! Mbona cc tulikuwa tunajibiwa hvyo hvyo wakati tulivyokuwa tunajiungaa! Hii ni jf home of great thinker! Challenges ni muhimuu ili ujue kujitetea! Kilazaaa ww
 
Unaweza kuniita majina yote, na mimi nisikujibu. Lakini inafahamika nani kilaza kati yetu, kupakatwa kawaida, ulipakatwa wewe na bado unapumua, sembuse mimi?
wewe acha kiherehere utapakatwaa! Mbona cc tulikuwa tunajibiwa hvyo hvyo wakati tulivyokuwa tunajiungaa! Hii ni jf home of great thinker! Challenges ni muhimuu ili ujue kujitetea! Kilazaaa ww
 
Hivi wewe uko mtandaoni unafanya nini/ unajua matumizi ya mtandaoni? nina wasi wasi na elimu unayoenda kusoma kama "viatu vyake una "viatu
 
Jaman,hii ni sehemu ya kueleweshana,na sio kutukanana,tuwe makini.THE HOME OF GREAT THINKERS.:kev:
 
Daah masela mbona mnachafua jina la jf....jishtukieni basi sasa huyu dada maryam kawakosea nini..wajibuni ovyo wale ambao wamewajibu ovyo lakini si kila mtu mnamjibu mnavyotaka...wengine hawana tabia za kipuuzi kama zenu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…