Naomba mniangalizie nimepangiwa chuo gani na tcu

Status
Not open for further replies.
Eagle Wing chuo kipo ghorofa ya tatu mkabala na Zoom University,umepangiwa ukasome bachelor in computer cleaning and keyboard pressing

hata hauchekeshi mtu kakuuliza vizuri we unamjibu ovyo
 
Daah masela mbona mnachafua jina la jf....jishtukieni basi sasa huyu dada maryam kawakosea nini..wajibuni ovyo wale ambao wamewajibu ovyo lakini si kila mtu mnamjibu mnavyotaka...wengine hawana tabia za kipuuzi kama zenu

maoni yako mwishoni ni utumbo mtupu
 
baadhi ya vyuo vimetoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo husika. nimeona vyuo kama CBE na MOUNT MERU" vipi kuhusu LOAN BOARD?
 
maoni yako mwishoni ni utumbo mtupu

mimi na wewe nani anaongea utumbo? Wewe jamaa unaonekana una roho mbaya sana hupendi maendeleo ya mtu...sasa kumzingua huyu dada ndo unaona sawa eeeh..hebu jishtukie wewe..jishkilie usije ukaangukia pabaya
 
mimi na wewe nani anaongea utumbo? Wewe jamaa unaonekana una roho mbaya sana hupendi maendeleo ya mtu...sasa kumzingua huyu dada ndo unaona sawa eeeh..hebu jishtukie wewe..jishkilie usije ukaangukia pabaya

aliyekuambia huyo ni dada nani?acha umburula
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…