aliyekuambia huyo ni dada nani?acha umburula
Utakua umepangiwa chuo cha nyuki Tabora ... maana kama hadi kutafuta umepangiwa wapi unaanzisha thread.. Basi tena
we unataka aku pm au?
Kama maryam hassan nusu mbongo nusu msomali ngoja nimfate akinata nageuza gari.
Kwani we unaonaje?
we boya nini..maryam ni mwanaume tangu lini au katika ukoo wenu una ndugu wakiume anaitwa maryam
habari zenu za asubuhi!
hivi kwani we jina lako ni nani! au we ni Mbwiga88,Oil sumu,flyn ryder,B.G,King kong,Fidel80 acha ukuda
habari zenu za asubuhi!
The thing is hapa sio Facebook jamaa...Write something which is of benefit to others!Mnaenda kwa wasomi sasa..mambo ya High school yaishe!
Poa mpya?
Acha ujinga dogo..hatupo sekondari hapa..Wewe ni nani kutukana kozi wanazokewnda kusoma wenzako?Do you think walimu sio muhimu?Nani kakufikisha hapo ulipo!It seems hiyo elimu ya Form Six bado haijakusaidia kabisaaa!
sina mpya kaka angu! labda unipe ww kama unayo!
ww n mstarabu sana yan kama mm
Mmmmhh!
jamaa linakurupuka alisomi thread mwanzo mwisho ili lichangie! Mwambie ndugu yakoo w a a_t_a o_l_e
mbna umeguna mkuu?