Naomba Mnifahamishe Jamani!

Sikutambua

Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
46
Reaction score
4
Naomba Kujua Kama Utaratibu Wa Mtu Aliyesoma Cheti Vyuo Vya Kilimo Kuomba Kusoma Degree Kwa Kigezo Cha Ufauru Wake Wa Kidato Cha Nne Kama Bado Upo (SUA)
 
Kwa jinsi ninavyofahamu taratibu za kujiunga na vyuo vikuu (na hapa SUA sio exceptional) kwa ajili ya kusoma shahada ya kwanza ni ama uingie moja kwa moja kwa ufaulu wa KIDATO CHA SITA au ufaulu wa DIPLOMA au uingie kupitia "matriculation examination" vinginevyo sidhani kama unaweza kujiunga kwa ufaulu wa KIDATO CHA NNE!
 
naomba kujua kama utaratibu wa mtu aliyesoma cheti vyuo vya kilimo kuomba kusoma degree kwa kigezo cha ufauru wake wa kidato cha nne kama bado upo (sua)

hilo halipo tena, ni aiza uingie chuo kikuu kwa ufaulu wako wa kidato cha sitta, au uingie ukiwa tayari una diploma yako tayari
 

Huo Utaratibu Wa Matriculation Bado Upo?
 
Utaratibu wa matriculation exams upo ila siku hizi una aka unaitwa "mature age entry exam!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…