Naomba mnijuze kama kuna mtu kafutiwa eligible tcu leo?

Naomba mnijuze kama kuna mtu kafutiwa eligible tcu leo?

BONANJE

Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
34
Reaction score
3
Wadau nime login leo tcu,nakukuta zilizokuwa elible zimetoweka na kuwa eligible zingine
(yani kinyume chake vp wengine?) maana kuna wengine wameshata chuo yeyari mf.kairuki.Nisaidieni nijue.
 
Wadau nime login leo tcu,nakukuta zilizokuwa elible zimetoweka na kuwa eligible zingine
(yani kinyume chake vp wengine?) maana kuna wengine wameshata chuo yeyari mf.kairuki.Nisaidieni nijue.


nimepata habari zisizo rasmi kuwa selection zimeshatoka ila hazija uploadiwa kwenye mtandao bado! but pia nasikia zimebandikwa kwenye baadhi ya vyuo, so kama upo near ya vyuo ulivyo apply kacheki au kama una mtu wa karibu mtaarifu akuchekie. ila kwa hili sina uhakika kama ni kweli is just nimeambiwa tuuuu. kwa aliye karibu na chuo chochote afanye yakeee basi ilinasisi tulio porini tujue hali halisi.

kwa ambalo na uhakika nalo, cause mimi nime receive mail ya kairuki so far, niki login sioni jipya lolote, ila kama nilivyo kwambia mwanzo bado selection hazipo mtandaoni bado ila kwa kairuki nasikia wa mebandika walio wachagua notice board, kwa aliye karibu na chuo hicho pls atu thibitishie basi
:israel:
 
nimepata habari zisizo rasmi kuwa selection zimeshatoka ila hazija uploadiwa kwenye mtandao bado! but pia nasikia zimebandikwa kwenye baadhi ya vyuo, so kama upo near ya vyuo ulivyo apply kacheki au kama una mtu wa karibu mtaarifu akuchekie. ila kwa hili sina uhakika kama ni kweli is just nimeambiwa tuuuu. kwa aliye karibu na chuo chochote afanye yakeee basi ilinasisi tulio porini tujue hali halisi.

kwa ambalo na uhakika nalo, cause mimi nime receive mail ya kairuki so far, niki login sioni jipya lolote, ila kama nilivyo kwambia mwanzo bado selection hazipo mtandaoni bado ila kwa kairuki nasikia wa mebandika walio wachagua notice board, kwa aliye karibu na chuo hicho pls atu thibitishie basi
:israel:

vp kuhusiana na mkopo hawaja ambatanisha pamoja
 
Hata me mpaka jana zote zilikuwa eligible, bt leo kuna 1 nimeandikiwa not eligible, xaxa tatizo ni nn? Mbona hawakuweka not eligible toka mapema?
 
nimepata habari zisizo rasmi kuwa selection zimeshatoka ila hazija uploadiwa kwenye mtandao bado! but pia nasikia zimebandikwa kwenye baadhi ya vyuo, so kama upo near ya vyuo ulivyo apply kacheki au kama una mtu wa karibu mtaarifu akuchekie. ila kwa hili sina uhakika kama ni kweli is just nimeambiwa tuuuu. kwa aliye karibu na chuo chochote afanye yakeee basi ilinasisi tulio porini tujue hali halisi.

kwa ambalo na uhakika nalo, cause mimi nime receive mail ya kairuki so far, niki login sioni jipya lolote, ila kama nilivyo kwambia mwanzo bado selection hazipo mtandaoni bado ila kwa kairuki nasikia wa mebandika walio wachagua notice board, kwa aliye karibu na chuo hicho pls atu thibitishie basi
:israel:

mmh !! mambo ni magumu kwelikweli hata mimi Bachelor of Vertenary Medicene nimekuta imeandikwa not eligeble wakati hapo mwanzo ilikua Eligeble.! Sijui hawa jamaa wanamaanisha nini?
 
hata mimi ni hiyo hiyo first choice kaaaziii kweli kweli
 
mimi naiman itakua ni technical problem,nakumbuka cku chache zilizopita kuna caurse zilifutwa then zikarud tena,leo tena nachek ma fast choice naambiwa not eligible akati b4 ilikua eligible!!! nadhan ni netwek tu..tusihof..
 
Me naona TCU wamezidiwa na mzigo eti iliyokua eligible ambayo ni 1st choice imekua not eligible na iliyo kua not eligible ambayo ni 7th choice imekua eligible, Zingine zote ziko kama ilivyo kua. Nime chek for eligibility mambo yamekaa fresh na ile 7th choice imeludi kua not eligible
 
daah kaz kwel kwel hata mm frst choice eti leo ndo imekuwa not eligible ya pale udsm!!
 
ahhahahahahhaa kwel tcu n pasua kichwa yaan hamuwez amini imekuwa tena ilegible!!!
 
mmh !! mambo ni magumu kwelikweli hata mimi Bachelor of Vertenary Medicene nimekuta imeandikwa not eligeble wakati hapo mwanzo ilikua Eligeble.! Sijui hawa jamaa wanamaanisha nini?

oya mi mwenyewe ilikua not elgbl nimechek for eligility imekua eligble!
 
Back
Top Bottom