Naomba mnijuze kuhusu mambo yafuatayo

Naomba mnijuze kuhusu mambo yafuatayo

Optimistic_

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
2,347
Reaction score
1,850
Habari zenu wakuu,
I hope mnaendelea vema na majukumu..

Naomba kuuliza ni vitu gani vya kuzingatia kama unataka nunua pikipiki au gari? Ukiachana na kujua kuendesha?

Mie najua labda inabidi uwe na leseni. Japo sielewi leseni unaipata wapi na kazi yake nini? Na kwa kuipata gharama yake ni shilingi ngapi? Na inachukua muda gani?

Pia mfano unataka kununua pikipiki au gari kwa mtu inabidi uzingatie nini ili usije kununua kitu cha wizi?

Na nasikia mfano pikipiki wengine wanasema iko full document kwani hizo document huwezi pewa fake na anayeuza pikipiki au gari?

Nawasilisha naomba kujibiwa hapo na pia nifahamishwe nisiyoyajua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leseni Unaipata TRA baada ya Kupitia Mafunzo ya Udereva Veta na Vyuo Vingine vinavyotoa Mafunzo hayo.TRA kunaye Mtu wa kukufanyia Testing ambaye ni Askari wa Usalama Barabarani.

Hayo ya Kununua Mkuu, Fikirisha Japo akili yako.
 
Leseni Unaipata TRA baada ya Kupitia Mafunzo ya Udereva Veta na Vyuo Vingine vinavyotoa Mafunzo hayo.TRA kunaye Mtu wa kukufanyia Testing ambaye ni Askari wa Usalama Barabarani.

Hayo ya Kununua Mkuu, Fikirisha Japo akili yako.
Kama hujaenda veta au chuo cha mafunzo yaani umejifunzia mtaani...hiyo lesen unaipataje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom