Edo Mashili
Member
- Apr 19, 2015
- 24
- 0
hadi upate ajira ndo utajiunga nakushauri zingatia usijiunge PSPF ni wazinguaji wanatangaza mafao ambayo hawana jiunge LAPFusidhan nna wivu nami npo PSPF ila najutia kuwepo kila laheriJaman wanajukwaa hili naomba mnijuze kuhusu mfuko wa Penshen PSPF jinsi ya kujiunga na huo mfuko mie nimemaliza kidato cha sita nataka kujiunga na huo mfuko ili inisaidie katika masomo yangu ya chuo kikuu,naomba mnijuze kuhusu vigezo na mengine mengi kuhusu huu mfuko
hadi upate ajira ndo utajiunga nakushauri zingatia usijiunge PSPF ni wazinguaji wanatangaza mafao ambayo hawana jiunge LAPFusidhan nna wivu nami npo PSPF ila najutia kuwepo kila laheri
mpaka uwe mwajiri nnavyojua ila kesho ntakupa mawasiliano ya mfanyakaz wa pspf atakusaidia zaid
hadi upate ajira ndo utajiunga nakushauri zingatia usijiunge PSPF ni wazinguaji wanatangaza mafao ambayo hawana jiunge LAPFusidhan nna wivu nami npo PSPF ila najutia kuwepo kila laheri
LAPF ndo mfuko sasa kama hujui hao PSPF wazushi tuMkuu na mimi niko lapf nataka nijitoe hawana jipya tena tuko kama 40 hivi tunasubili watunyime mkopo wa chuo tu tunasepa
LAPF ndo mfuko sasa kama hujui hao PSPF wazushi tu
Yaan tunasubiri watunyime mkopotu hiyo inakua baibai mkuu najua wengi watafuata tu baada ya kuona
Russian Agent Salt sio kweli, hii mifuko miwili inazidiana huduma!LAPF ndo mfuko sasa kama hujui hao PSPF wazushi tu
Mkuu na mimi niko lapf nataka nijitoe hawana jipya tena tuko kama 40 hivi tunasubili watunyime mkopo wa chuo tu tunasepa
Nakushauri usijitoe LAPF kwa ajili ya Kujiunga PSPF labda ujiunge Mfuko Mwingine.Mimi Juzi nilienda Makao makuu kuulizia utaratibu wa kupata Mkopo wa Masomo ya Juu,Ukweli ni kwamba wana Masharti ghali afadhali hata kukopa Bank.Ningekuwa na uwezo ningehamia GEPF.Hakuna nafuu yoyote unayopata kama mwanachama.
tatizo PSPF bla bla mingi wanatangaza mafao ambayo hata hawana badoRussian Agent Salt sio kweli, hii mifuko miwili inazidiana huduma!
tatizo PSPF bla bla mingi wanatangaza mafao ambayo hata hawana bado
Wiki iliyopita nimeenda kwenye ofisi zao kuulizia fao la uzazi maana wife kajifungua na ni mwanachama wa pspf wananiambia vitu vya ajabu tu, kumbe wanatangaza hata huduma ambazo hawatoitatizo PSPF bla bla mingi wanatangaza mafao ambayo hata hawana bado
Ukishajiunga na mfuko huwezi kutoka wala kubadilisha so utakufa nao huo.....
2013 walikuja kututangazia biashara wakasema wana mafao ya uzazi mwaka 2014 sept nimeenda kuulizia wanajibu madudu yasioeleweka in SHORT HAWANA HAYO MAFAO WAONGO SANA PSPFWiki iliyopita nimeenda kwenye ofisi zao kuulizia fao la uzazi maana wife kajifungua na ni mwanachama wa pspf wananiambia vitu vya ajabu tu, kumbe wanatangaza hata huduma ambazo hawatoi