What a name for a college! Some-failures!
Sikijui ndugu, ila ongea na dogo. Muambie miaka 10 ijayo kama hatakuwa kaenda shule atakuwaje sijui! Manake wenye digrii moja watakuwa wanauza maembe na kufagia kwenye flyovers, wenye digrii 2 wanasafisha maofisi na restaurants.