Naomba mnikaribishe waungwana

Luggano

Member
Joined
Feb 3, 2013
Posts
23
Reaction score
7
Habari yenu wana JF
Baada ya kuwa Guest kwa muda mrefu sasa nimeamua na mimi nijiunge rasmi. Naombeni ushirikiano wenu tafadhali.

Asanteni.
 
Karibu Nnyambala hapa utajifunza mengi,ila kama ni mfuasi wa Chama Cha Magamba unaweza kufa kwa pressure maana humu watu hawaogopi kuanika uozo wote wa chama cha zamani.
 
Asante mkuu, mimi ni kizazi kipya lakini pia lakini si mfuasi wa chama chochote kile

He, mara hii ushachanganya madesa...!!!, ulikuwa unasajili Id mpya nini!!?? teh teh teh, watu8 ufafanuzi please
 
Last edited by a moderator:
Lugano karibu jamvini..

kama walivyosema, watu 8 pamoja na mkuu Dr.Zero..mimi ningependa kukuaribisha na ujumbe:

  1. "Take the attitude of a student, never be too big to ask questions, never know too much to learn something new."

    karibu
    sana Lugano!
 
pia usisahau:
2 "Wise men speak because they have something to say;Fools because they have to say something"
kwa hivyo ili ufurahie kuishi humu JF, ni vizuri ukitoa vitu vizito, yaani kama kuna jambo linajadiliwa na wewe unataka kutoa hoja hakikisha una habari za kutosha na ambazo watu wenye akili zao wataumiza vichwa au hata kujifunza jambo jipya. By the way ..hata mie si wa zamani saaana!
 
nakikoroga kidogo mkuu, mara mojamoja nisije kukisahau...si unajua mjini huku hatupati wasaa wa kuzungumza!!

Watu 8, nakuona umekumbuka nyumbani mkuu!
Saafi sana..
 
heheh nilikua sijaona mkuu, maana nimeona nimekuwa quoted, kuja kucheck huku naona posts zimefutwa...sasa sikujua nini kinaendelea, nahisi kachanganya madesa tayari na mods wamefanya ze nidful

He, mara hii ushachanganya madesa...!!!, ulikuwa unasajili Id mpya nini!!?? teh teh teh, watu8 ufafanuzi please
 
Habari yenu wana JF
Baada ya kuwa Guest kwa muda mrefu sasa nimeamua na mimi nijiunge rasmi. Naombeni ushirikiano wenu tafadhali.

Asanteni.
Mh karibu sana uliza key access ya jukwaa la wakubwa kwa Invisible
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…