safari G. Senior Member Joined Jun 29, 2015 Posts 108 Reaction score 71 Jun 29, 2015 #1 Baada ya kuwa member nikiwa nje ya Jamvi kwa kipindi kirefu, kwa heshima naomba kuungana na wanajamvi ili kuwakilisha na kuchangia mambo ya msingi yanayo tuzunguka katika jamii. Asanteni wakuu.
Baada ya kuwa member nikiwa nje ya Jamvi kwa kipindi kirefu, kwa heshima naomba kuungana na wanajamvi ili kuwakilisha na kuchangia mambo ya msingi yanayo tuzunguka katika jamii. Asanteni wakuu.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Jun 29, 2015 #2 Karibu sana tunategemea kupata mengi kutoka kwako.
safari G. Senior Member Joined Jun 29, 2015 Posts 108 Reaction score 71 Jun 29, 2015 Thread starter #3 Asante mkuu, bila shaka.
safari G. Senior Member Joined Jun 29, 2015 Posts 108 Reaction score 71 Jun 29, 2015 Thread starter #5 Asante mkuu
pantaloo JF-Expert Member Joined Mar 28, 2015 Posts 375 Reaction score 131 Jun 29, 2015 #6 Kalibu mnooo
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Jun 30, 2015 #7 Karibu sana JF...
Bangsweezy JF-Expert Member Joined Jan 6, 2014 Posts 880 Reaction score 200 Jun 30, 2015 #8 Karibu mgeni Jf
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Jun 30, 2015 #9 Karibu sana JF mjukuu wetu....
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Jun 30, 2015 #10 Karibu sana ndugu. Jisikie uko kwenu (tunashare hii nyumba. Taratibu usimkanyage mwenzio)
safari G. Senior Member Joined Jun 29, 2015 Posts 108 Reaction score 71 Jun 30, 2015 Thread starter #11 Asanteni sana nyote.
K kindondindo JF-Expert Member Joined Jul 8, 2013 Posts 503 Reaction score 149 Jul 5, 2015 #12 kapicha bas hatakidogo!