Naomba mnisaidie kwa hili....

Naomba mnisaidie kwa hili....

Hollyreath

Senior Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
126
Reaction score
12
Mimi nilimaliza kidato cha nne,tangu mwaka 2009,,nilipata divn 4.27,,,nimeangaika kupata fees kwaajili ya chuo,,lakin mpaka leo imeshindika,,nahitaji kusomea ualimu wa chekechea,,lakin,nimeshindwa kwasababu a karo,,naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia,,either kupata kazi ambayo ntaweza kulipia karo yangu,,au mfadhili wa kunisaidia,,mi nipo mwanza
 
Back
Top Bottom