Mungu katuachia sisi wanadamu maamuzi.SUBIRI TAREHE YAKO IFIKE USHUSHE MZIGO, ACHA KUBET... MENGINE MUACHIE MUNGU
I KNOW BUT SOMETIME HAYA MAMBO YA UJAUZITO HAYATABIRIKI NA HAYAFANANI KWA MTU NA MTU, KUNA UTOFAUTIMungu katuachia sisi wanadamu maamuzi.
Ingia google andika Pregnancy Due date calculator utaandika tarehe ya mwisho ya hedhi na watakuletea due date na baby genderJINSI YA KUTAMBUA TAREHE AMBAYO MJAMZITO ANAWEZA KUJIFUNGUA
Habari za wakati huu
~Ukianza na tarehe yako ya mwisho ya hedhi toa miezi 3 halafu jumlisha siku 7
Kwa mfano:kama tarehe ya mwisho ya hedhi ilikuwa tarehe 10 mei ukitoa miezi 3 itakuwa februari 10 na ukijumlisha siku 7 itakuwa Februari 17 hivyo uwezekano wa mama kujifungua itakuwa tarehe 17 Februari
Maana kama kuna mtu anataka anichezee mchezo hivi
Wanalenga humo humo tuIngia google andika Pregnancy Due date calculator utaandika tarehe ya mwisho ya hedhi na watakuletea due date na baby gender
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
JINSI YA KUTAMBUA TAREHE AMBAYO MJAMZITO ANAWEZA KUJIFUNGUA
Habari za wakati huu
~Ukianza na tarehe yako ya mwisho ya hedhi toa miezi 3 halafu jumlisha siku 7
Kwa mfano:kama tarehe ya mwisho ya hedhi ilikuwa tarehe 10 mei ukitoa miezi 3 itakuwa februari 10 na ukijumlisha siku 7 itakuwa Februari 17 hivyo uwezekano wa mama kujifungua itakuwa tarehe 17 Februari
Maana kama kuna mtu anataka anichezee mchezo hivi