Naomba mnisaidie mawasiliano ya wizara ya Afya ama Mwenye mawasiliano ya waziri wa Afya Tanzania

Naomba mnisaidie mawasiliano ya wizara ya Afya ama Mwenye mawasiliano ya waziri wa Afya Tanzania

canular

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2018
Posts
889
Reaction score
874
Wakuu tujipe pole na tuendelee kujikinga na maambukizi ya corona tuendelee kuvaa barakoa na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka ,moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu jamani Ninaomba kwa mwana jf yeyote yule mwenye mawasiliano ya staff wa wizara ya Afya au mawasiliano ya waziri wa Afya anitumie pm Nina uhitaji mkubwa wa mawasiliano hayo wakuu mwenye hayo mawasiliano plz naomba ani pm nitashukuru sana wakuu
 
😀 😀 😀 😀 😀 Asubuhi yote hii na wagonjwa wameruhusiwa.Wewe unataka namba ukaseme nini?Wanakuja wenye nazo,pole mkuu utazipata tu.Ufikishe ujumbe vizuri lakini usio wa kichochezi
 
Back
Top Bottom