mimi ni kijana wa kike nina tatizo la kupata uvimbe ukeni baada tu ya kumaliza siku zangu kuna mtu nlimwambia akanambia labda inatokana na pedi ninayotumia lakini nilibadilisha na bado tatizo linaendlea
ndio hujakosea ni kipele kimoja kikubwa ila sio sana
asante sana ubarikiwe