Naomba mnisaidie namna ya kupata AVN number

babuumzuri

Member
Joined
Sep 18, 2020
Posts
14
Reaction score
7
habari wakuu,
naomba mnisaidie namna ya kupata avn number kwa niliyesoma cheti mwaka mmoja na diploma miaka miwili.
pale kwenye maswali ya kuchagua yes or no nachagua nta level ngapi? maana hapo sielewi cheti na diploma wanatumia nta level zipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…