Naomba mnisaidie vitu muhimu kumchukilia mtu dhamana

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,162
Reaction score
796
nataka msaada usiku huu nijiandae wakuu


natanguliza shukran zangu, niko chini ya miguu yenu wakuu

plz
 
Wadhamini wawili waajiriwa wa taasisi yoyote ya serikali na mwingine wa kawaida mwenye barua ya mtendaji wake inayomruhusu kumdhamini mtu. Hao waajiriwa wawe na vitambulisho na barua kutoka kwa waajiri zinazowaruhusu kumdhamini mtu. Ila kama mdhaminiwa anadaiwa zaidi ya mil 10, lazima awe na kitu kama hati ya nyumba ili aweze kudhamiwa! Shida haina adabu, magereza ni ya wote, na wewe unasubiriwa! Wishing u lucky!
 
Asante kwa elimu hii mkuu.
 
Kua makini and don't take a chance! Ni vizuri ukawa na wadhanini waajiriwa wa serikali zaidi ya watatu kama utaweza na kua makini kitu unachoweka kama dhamana kiwe hakijawekwa bond mahali popote! Kua na hela ya kutosha mfukoni incase ikilazimu kuchakachua mambo! I am speaking from experience!
 
Hakuna kigezo cha kuwa na wadhamini wawili walioajiliwa.
Hata hivyo mtoa mada jaribu kuwa wazi kuhusu madai au tuhuma dhidi ya mshtakiwa kwan thaman ya dhaman inategemea aina ya tuhuma.
Pia sidhan kama mchangiaji wa kwanza anafahamu sheria au hayupo serious!
 

mkuu ungetoa wazo lako,jibu lako..mtuhumiwa amekutwa na miraa na kucheza kamali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…