naomba mnisaidie

naomba mnisaidie

naomba mnisaidie tofauti ya maneno haya..
kisia,hisi na tabiri..
asante..

Kisia=bahatisha bila uhakika, Tabiri=sema yatakayotokea mbeleni kwa uhakika, Hisi= dhania uwepo wa kitu kwa kutumia milango ya fahamu ya mwili hasa ngozi.
Haya nimekusaidia tayari, nitumie hata vocha ya shukurani.
 
Back
Top Bottom