J jackietairo New Member Joined May 29, 2013 Posts 4 Reaction score 0 Jul 19, 2013 #1 naomba mnisaidie tofauti ya maneno haya.. kisia,hisi na tabiri.. asante..
Mbute na chai JF-Expert Member Joined Jul 21, 2012 Posts 564 Reaction score 593 Jul 21, 2013 #2 jackietairo said: naomba mnisaidie tofauti ya maneno haya.. kisia,hisi na tabiri.. asante.. Click to expand... Kisia=bahatisha bila uhakika, Tabiri=sema yatakayotokea mbeleni kwa uhakika, Hisi= dhania uwepo wa kitu kwa kutumia milango ya fahamu ya mwili hasa ngozi. Haya nimekusaidia tayari, nitumie hata vocha ya shukurani.
jackietairo said: naomba mnisaidie tofauti ya maneno haya.. kisia,hisi na tabiri.. asante.. Click to expand... Kisia=bahatisha bila uhakika, Tabiri=sema yatakayotokea mbeleni kwa uhakika, Hisi= dhania uwepo wa kitu kwa kutumia milango ya fahamu ya mwili hasa ngozi. Haya nimekusaidia tayari, nitumie hata vocha ya shukurani.