Naomba mniwekee njia za kupunguza uzito

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,711
Niko kwenye harakati za kupunguza uzito,najua mbinu kadhaa ambazo nimeanza kuzitumia
1.kutembea angalau kwa nusu saa kila siku
2.kupunguza au kuacha kabisa chakula cha mafuta mengi(hapa nimeacha kuanzia jana kula kitmoto)
4. Naomba mniongezee nyingine.......

Uzito wangu ni kilo 90,urefu 188cm. Nataka zishuke hadi 82 kilos.
Kwa urefu wangu bado sionekan kama ni mnene ila naona ninakoelekea sio kuzuri. Msaada wenu pls....
 
nenda JF doctor,utakuta Uzi upo juu kabisa unaelezea,kuchangia na kutatua matatizo yako.
 
Kuna dawa niliipata humuhumu JF ni kiboko, "chukua mkopo unaozidi uwezo wako kuulipa"
 
Pamoja na msaada wa jf Dr, labda nikusaidie... kwanza sidhani uko kwenye hatari sana... jaribu kuangalia BMI yako pia.... pili.. cha kufanya unaweza ukafanya dieting..na mazoezi ya kutosha... si magumu... recommended ni at least uchape mikono yako mara 3000 kwa siku ukiwa on move.... sasa kama unapenda magari na hutaki kutoka jasho uko kwenye risk ya unene kuongezeka ila frankly BMI yako ni safi... ie below 25.
 
Ndugu,kichwa ndio mtu unataka kufanikiwa kupunguza uzito kuna product inaitwa CLEAN 9,hii product ukiitumia unaweza punguza kilo 4 mpaka tisa kwa siku tisa na wakati ukiwa unaitumia unashauriwa kufanya mazoezi mepesi kama kuruka kamba,kupanda ngazi na kukimbia....for more information u can contact me by 0712047346
 
Huyu si lolote au chochote. kama anajua kinachoongeza unene kweli asijue kinachopunguza.
Anataka kujaza server tu huyu.
Ila akitaka apungue haraka haraka achepuke na asitumie condom. mawazo tu ya kama kaukwaa au la ni tiba kabisa.
 
Huyu si lolote au chochote. kama anajua kinachoongeza unene kweli asijue kinachopunguza.
Anataka kujaza server tu huyu.
Ila akitaka apungue haraka haraka achepuke na asitumie condom. mawazo tu ya kama kaukwaa au la ni tiba kabisa.

Sawa mkuu,nimekuelewa! Majibu ya kipumbaf namna hii wala hayatabadili mpango wangu wa kubadilika,.sitaki nikujibu unavyotaka,huko sikutaki tena.
 

Ni nini mkuu,naomba nijue hiyo product mkuu.
 

Shukran mkuu kwa ushauri wako. BMI yangu sio mbaya ila niko kwenye hatari mkuu.nataka nipigane isifike 25.
 
Kwanza unitumie dawa yoyote ya kupunguza unene! Diet and some exercise will do
 
kwa urefu wako unatakiwa kuwa na kilo 88,hivyo unapaswa kupunguza kilo 2 tu,ukipungua zaidi ya hapo unajitafutia matatizo Mkuu,bado haupo pabaya sana mkuu,jitahidi usiongezeke zaidi ya hapo utakuwa na afya bora
 
Kichwa ndio mtu acha kiroro hahahahaa kama unapiga najua hutakubali,
 
kwa urefu wako unatakiwa kuwa na kilo 88,hivyo unapaswa kupunguza kilo 2 tu,ukipungua zaidi ya hapo unajitafutia matatizo Mkuu,bado haupo pabaya sana mkuu,jitahidi usiongezeke zaidi ya hapo utakuwa na afya bora

Asante sana kwa ushauri wako mkuu. Ntajitahidi sana mkuu. Shukran sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…