Lkn hoja yake umeielewa? Wanaongelea demokrasia iiliyopo Kenya. Vipi ww inasemaje juu ya hilo?Andika Kiswahili huko Kenya ndo walikufundisha Kiingereza kibovu namna hii? Unalipa fadhila sio? [emoji23] [emoji85] [emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
Poor Tanzanians! With all the proffesors and docktors of all disciplines including law and political sciences, you still live with it!! Who has be witched you?Ha ha ha! Tena Katiba inasema kabisa; the president-elect shall take oath at the "earliest time possible" and in the worst case shall not exceed one week! Na akishaapa, case imefungwa hakuna kuhoji popote! Hapa kuna tatizo kubwa sana.
Mchamba wima huyo.Lkn hoja yake umeielewa? Wanaongelea demokrasia iiliyopo Kenya. Vipi ww inasemaje juu ya hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
i feel your pain bruhHakuna cha katiba wala nini, tatizo letu ni sisi wenyewe, tunaweza kuwa na katiba nzuri ila tukawa na kiongozi mwehu, na kwa sababu ya ujinga wetu huyo mwehu ata avunje katiba hakuna atakayejali.
Dah! Kenya wako mbali aisee. Katiba Katiba Katiba plus mifumo sahihi ni kitu muhimu sana kwa ustawi wa taifa lolote lile.[/QUOTE Kumbuka hadi wanafika hapo damu ya wakenya ilimwagika, sio rahisi sana
Wa aina yako wako kimya ni bora nawe ukaficha aibu yako.lkn huku huwa wanakubali kuwa wamepigwa za mbavu mapema
mkuu kweli we ni bila bila kila konaWa aina yako wako kimya ni bora nawe ukaficha aibu yako.
ACHA nikae KIMYA...!
N.B
Baadaye leo jumanne 29/08/2017 muda wa saa 11:00 Hrs yaani saa 5 asubuhi, NASA waliweza kupata nafasi ya kuingia katika servers za IEBC na kuchambua kumbukumbu kama Supreme Court walivyotoa amri kwa IEBC
These moments of comedic relief between the judges and lawyers lightened the grim energy during the court proceedings....Moments of laughter were refreshing....Nairobi, Kenya
CONFUSION AS JUBILEE AND IEBC LAWYERS FAILS TO ANSWER A VERY SIMPLE QUESTION
Source: Kenya News Alert TV