Naomba mrejesho kwa alienunua pikipiki kutoka Kupatana

Naomba mrejesho kwa alienunua pikipiki kutoka Kupatana

Ronzobe B29

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2017
Posts
242
Reaction score
89
Habari wana JF

Kama Uzi tajwa hapo juu, binafsi huwa naona matangazo kwenye app ya kupatana watu wakiuza na kununua vyombo vya usafir kama pikipiki na gari.

Lakin m lengo language in kununua pikipiki used hivyo naomba a_z kwa wale mliowah au mmenunua pikipiki hko kupatana ubora na umilik wa hizo au pengine huenda n za wizi ama in mbovu hasa upande wa injini

N Je nizingatie mambo gan wakati wa kununua...?
Hatua gani nifuate wakati wa makabidhiano..?
Na Je nitagunduaje kwamba chuma in nzima ..?

Pia nanunua kwa ajiri ya matumiz binafsi je, in hatua gan nifuate wakati wa kuibadili kutoka COMMERCIAL kuwa PRIVATE ili npunguze kodi? Na gharama ni kiasi gani?

Nipo sti ya mbele kujuzwa na kupokea ushaur wenu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
From my experience wengi wanaouza vitu kupatana ni matapeli,mie kuna jamaa Zenji aliniambia nimtumie kiasi cha pesa ili a nitumie home theatre nikamuunganisha na jamaa yangu kule Zenji ili akachukue mwisho wa siku jamaa kamkimbia mchizi alieenda kuchukua mzigo Sasa je kama ningemtumia pesa si ningekuwa nishapigwa.kuwa makini brother vinginevyo utaingizwa cha kike
 
From my experience wengi wanaouza vitu kupatana ni matapeli,mie kuna jamaa Zenji aliniambia nimtumie kiasi cha pesa ili a nitumie home theatre nikamuunganisha na jamaa yangu kule Zenji ili akachukue mwisho wa siku jamaa kamkimbia mchizi alieenda kuchukua mzigo Sasa je kama ningemtumia pesa si ningekuwa nishapigwa.kuwa makini brother vinginevyo utaingizwa cha kike
Asante sana kwa hilo..
 
From my experience wengi wanaouza vitu kupatana ni matapeli,mie kuna jamaa Zenji aliniambia nimtumie kiasi cha pesa ili a nitumie home theatre nikamuunganisha na jamaa yangu kule Zenji ili akachukue mwisho wa siku jamaa kamkimbia mchizi alieenda kuchukua mzigo Sasa je kama ningemtumia pesa si ningekuwa nishapigwa.kuwa makini brother vinginevyo utaingizwa cha kike
Na ww ungekubali kumtumia pesa ningekushangaa sana huwezi nunua bidhaa bila kwanza kujiridhisha kama ipo fresh.
 
Habari wana JF

Kama Uzi tajwa hapo juu, binafsi huwa naona matangazo kwenye app ya kupatana watu wakiuza na kununua vyombo vya usafir kama pikipiki na gari.

Lakin m lengo language in kununua pikipiki used hivyo naomba a_z kwa wale mliowah au mmenunua pikipiki hko kupatana ubora na umilik wa hizo au pengine huenda n za wizi ama in mbovu hasa upande wa injini

N Je nizingatie mambo gan wakati wa kununua...?
Hatua gani nifuate wakati wa makabidhiano..?
Na Je nitagunduaje kwamba chuma in nzima ..?

Pia nanunua kwa ajiri ya matumiz binafsi je, in hatua gan nifuate wakati wa kuibadili kutoka COMMERCIAL kuwa PRIVATE ili npunguze kodi? Na gharama ni kiasi gani?

Nipo sti ya mbele kujuzwa na kupokea ushaur wenu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Mkuu nunua tuu Haina shida Wala nn mm niliwahi nunua Gari kupatana gari Kali iliyokamilika Kila idara kuanzia engine na body Haina Deni Wala Nini kwa 8,900,000 sembuse pikipiki.

Fanya haya kujiridhisha.
Kwanza angalia Kama Haina Deni lolote hiyo pikipiki nirahisi mno kujua.

Pili katika harakati zako usiende na pesa ila angalia ubora wa pikipiki kwako we utajua ubora wapikipiki kwa body yake, muonekane wake na drive mwenyewe kuhakikisha huoni kasoro yoyote au km Kuna kasoro ukigundua liwe linarekebishika.


Tatu ukiipenda pikipiki binafsi we mwenyewe mtafute fundi nenda naye akahakikisha ubora wa engine km kunatatizo itajulikana tu Wala usihofu.

Nne Kama yote umeridhika nayo nunua hiyo pikipiki Ila hakikisha Kuna maandishi baina yako na muuzaji

Tano Badilisha jina lako rahisi tu kubadilisha Wala usipasuke kichwa Kuna vishoka kibao siku moja to unapata ukitacho.
 
Wabongo ukikuta mtu anauza kitu used ujue ni used kweli kweli!
Hatunaga ile ya kuuza chombo kama hakina tatizo
Kwahiyo uwe tayari kwa lolote
 
Mkuu nunua tuu Haina shida Wala nn mm niliwahi nunua Gari kupatana gari Kali iliyokamilika Kila idara kuanzia engine na body Haina Deni Wala Nini kwa 8,900,000 sembuse pikipiki.

Fanya haya kujiridhisha.
Kwanza angalia Kama Haina Deni lolote hiyo pikipiki nirahisi mno kujua.

Pili katika harakati zako usiende na pesa ila angalia ubora wa pikipiki kwako we utajua ubora wapikipiki kwa body yake, muonekane wake na drive mwenyewe kuhakikisha huoni kasoro yoyote au km Kuna kasoro ukigundua liwe linarekebishika.


Tatu ukiipenda pikipiki binafsi we mwenyewe mtafute fundi nenda naye akahakikisha ubora wa engine km kunatatizo itajulikana tu Wala usihofu.

Nne Kama yote umeridhika nayo nunua hiyo pikipiki Ila hakikisha Kuna maandishi baina yako na muuzaji

Tano Badilisha jina lako rahisi tu kubadilisha Wala usipasuke kichwa Kuna vishoka kibao siku moja to unapata ukitacho.
Fundi so anaweza kula kidgo toka kwa muuzaji akakwambia nzima Kumbe kitu imelegea kama mlendaa
 
From my experience wengi wanaouza vitu kupatana ni matapeli,mie kuna jamaa Zenji aliniambia nimtumie kiasi cha pesa ili a nitumie home theatre nikamuunganisha na jamaa yangu kule Zenji ili akachukue mwisho wa siku jamaa kamkimbia mchizi alieenda kuchukua mzigo Sasa je kama ningemtumia pesa si ningekuwa nishapigwa.kuwa makini brother vinginevyo utaingizwa cha kike
Ha ha ha mi pia jamaa aliingia mitini baada ya kumwambia niko zenji so nakuja kuchukua mzigo nimpe na cash
 
Fundi so anaweza kula kidgo toka kwa muuzaji akakwambia nzima Kumbe kitu imelegea kama mlendaa
Hamna mkuu chukua fundi unaemjua naamini mtaani wako wengi unaojuana nao km hujuani nao mwambie ndugu ama rafiki akutafutie fundi mzuri na muaminifu uende nae hata kwa Yard tunaenda kununua gari watu huenda na fundi vilevile so usiogope
 
From my experience wengi wanaouza vitu kupatana ni matapeli,mie kuna jamaa Zenji aliniambia nimtumie kiasi cha pesa ili a nitumie home theatre nikamuunganisha na jamaa yangu kule Zenji ili akachukue mwisho wa siku jamaa kamkimbia mchizi alieenda kuchukua mzigo Sasa je kama ningemtumia pesa si ningekuwa nishapigwa.kuwa makini brother vinginevyo utaingizwa cha kike
Hata mimi hawa jamaa waga siwaamini sana
 
Kila penye fursa yawezekana pia matapeli Wapo
Niliwahi kupata Pikipiki kwa bei nzuri kutoka kupatana.
Nilianza kuwasiliana na mwanaume kwa kuchati kwa wasap,baadae nikamwomba a nitumie picha ya pikipiki inayouzwa.
Nikatumiwa picha kwa namba tofauti,nilipopiga simu akapokea mwanamke na akasema amepewa picha anitumie.

Nilimpigia Simu mara kadhaa yule jamaa anayeuza Pikipiki hakupokea tena.
Nikamdelete.
Ushauri:Kupatana kuna bidhaa bora na kwa bei nafuu,ila tuwe macho na matapeli pia
 
Kama uko mkoani Ni vema kama ukipata nafasi ya kusafiri na kukagua chombo unachotaka kununua.Ila kama unataka kiagizwe hapo Ni rahisi sana kupigwa changa la macho.
 
Kupatana iwe sehemu ya kukukutanisha na mteja kwa uharaka na si vinginevyo, hatua muhimu zinapaswa kufuatwa baada kama ufuatiliaji kumfahamu vizuri mhusika, ukweli wa kinachouzwa na uhalisia wake, hali ya bidhaa husika na endapo maelezo/picha zilizobainishwa zinaendana na uhalisia wa bidhaa. Ni jambo la kushangaza kushindwa kutumia elfu 10 au 20 ama zaidi kwa ajili ya ufuatiliaji ijapokuwa unataka kununua kitu kwa gharama zaidi ya milioni! Kamwe! Usilipe fedha kabla ya kupata bidhaa yako kwa ununuzi wa bidhaa mtandaoni passipo kuwa na assurance.
 
achana nao njoo nkuuzie boxer bm mpyabmpya ina miezi 3 kuanzia niinunue kama unaitaka ni pm
 
From my experience wengi wanaouza vitu kupatana ni matapeli,mie kuna jamaa Zenji aliniambia nimtumie kiasi cha pesa ili a nitumie home theatre nikamuunganisha na jamaa yangu kule Zenji ili akachukue mwisho wa siku jamaa kamkimbia mchizi alieenda kuchukua mzigo Sasa je kama ningemtumia pesa si ningekuwa nishapigwa.kuwa makini brother vinginevyo utaingizwa cha kike
Sasa hapa kupatana wanahusikaje?

Ile ni platform tu ya kukutana Wauzaji na Wanunuzi hakuna wa kukuongoza kwamba hapo nunua, hapo acha.

Ni jukumu lako kujiridhisha na muuzaji kama ambavyo ungefanya ukiwa barabarani ukakutana na Mmachinga.
 
Mimi nishafanya sana biashara huko ila mwenye kuhitaji bidhaa kma yko mbali na mm namuambia Ani link na jamaa yke ambaye yko dar tumalizie....
Nishawahi muzia mtu vanguard tena hatujuani jamaa alikuwa sumbawanga yeye alideposit hela kwenye ac ya jamaa yangu ana yard ya gari nkamtafutia dereva akampelekea hko doc alikuja zifuata mwenyewe baada ya miezi 5 jamaa nilimkubali
Mpk leo Tukio Nana tunagonga bia tu...
Kifupi biashara ni uaminifu

Ova
 
Back
Top Bottom