Asante sn ndganywe rozela mchemshie then poza anywe kama juice! matembele pia hivo hivo!
umpe na juice ya mlonge
Siyafaham ndg yangu yanapatikana wapi hasa? shukran sanaMaua ya choya yanasaidia sana
Nashukur sn changamoto dar sijawahi kuyaona haya majani lkn kwa mkoani nimewah kusikia habari hizi za majani hayaKuna yale majani yanaitwa mashona nguo.Majani flani hivi ukipita yakakugusa mbegu zake kama sindano zinagusa.
Chukua majani yake twanga ongeza maji kamua kunywa kikombe cha chai asubuhi mchana na jioni baada ya wiki kapime wekundu wa damu yaani HB kisha rudi JF lete ripoti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaha yapoNashukur sn changamoto dar sijawahi kuyaona haya majani lkn kwa mkoani nimewah kusikia habari hizi za majani haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna viazi ni balaa siku 3 nyingiHabari za usiku na poleni na uchovu wa weekend naomba mwenye kufahamu tiba nzuri ya kuongeza damu kwa kutumia dawa za asili anisaidie ninachomaanisha sio dawa za Hospitalini. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui unakaa Dar upande upi lakini yapo,,kama unapafahamu bonde la Keko wanapolima mchicha yapo,bonde la Msimbazi yapo nkNashukur sn changamoto dar sijawahi kuyaona haya majani lkn kwa mkoani nimewah kusikia habari hizi za majani haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada jaribu mboga za majani, huwa tunawasiliana wataalamu hivyo,na mimi najifunza kuyajua hayoHabari za usiku na poleni na uchovu wa weekend naomba mwenye kufahamu tiba nzuri ya kuongeza damu kwa kutumia dawa za asili anisaidie ninachomaanisha sio dawa za Hospitalini. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka kule kwetu Choya tunatumia kama pombe, ila pia ni juisiMaua ya choya yanasaidia sana