Naomba msaada: Anayejua kupika maandazi na skonsi anipe elimu hii.

KOLOKOLONI

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
2,476
Reaction score
2,371
Wanajamvini nimekubali jamiiforum ni home of great thinkers.baada kupata hofu kali juu ya dengue na kuchoka kufungua mageti kwa mchina sasa nimefikiria kuanza kupika na kuuza maandazi na skonsi. Mwenye uelewa huu naomba anielekeze jinsi ya kupika hivyo vyakula ili nijikwamue kiuchumi.
 
Nenda jukwaa la mapishi, ila ngoja nikuitie the super chef.
farkhina tafadhal.....!
 
Last edited by a moderator:
Nenda jukwaa la mapishi, ila ngoja nikuitie the super chef.
farkhina tafadhal.....!

Kim nana umeangalia vizuri hili ni jukwaa gani lakini? au kuna JF chef na JF mapishi?
 
Last edited by a moderator:
Kim nana umeangalia vizuri hili ni jukwaa gani lakini? au kuna JF chef na JF mapishi?

Angalia muda Kim nana alio andika post yake......Hapo insonesha wazi kabisa mleta mada alipost jukwaa ambalo sio..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…