kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,158
Habari ndugu najua kwenye wengi app haribiki kitu.. na wapo wataalam na waliowahi patwa na hili jambo..
Baba anasumbuliwa na kwikwi tumejaribu kwenda hospital lakini wataalam wamesema hawaoni kitu.. hivyo walimpa ushauri aendelee kunywa maji lakini hakupata nafuu..
Basi akajaribu kwenda kwa wataalam wa kienyeji walau alipewa dawa na kujisikia nafuu.. lakini kaambiwa tena aende j3
Na kuambiwa hilo ni pepo umetupiwa na akapewa mkasa namna ilivyo kua
Kwa ushuhuda nilio upata kwa watu wengi ni kwamba huo ugonjwa walio wengi umewapeleka kaburini na mara nyingi linakuaga pepo mtu kamfanyia tego...
MIMI SIO MDAU WA IMANI YOYOTE ILE ILA NAKARIBISHA MAONI YOYOTE YALE ILI NIYAFANYIE KAZI... AMA KAMA YUPO MTAALAM ASEME NIFANYEJE
AHSANTE..
Baba anasumbuliwa na kwikwi tumejaribu kwenda hospital lakini wataalam wamesema hawaoni kitu.. hivyo walimpa ushauri aendelee kunywa maji lakini hakupata nafuu..
Basi akajaribu kwenda kwa wataalam wa kienyeji walau alipewa dawa na kujisikia nafuu.. lakini kaambiwa tena aende j3
Na kuambiwa hilo ni pepo umetupiwa na akapewa mkasa namna ilivyo kua
Kwa ushuhuda nilio upata kwa watu wengi ni kwamba huo ugonjwa walio wengi umewapeleka kaburini na mara nyingi linakuaga pepo mtu kamfanyia tego...
MIMI SIO MDAU WA IMANI YOYOTE ILE ILA NAKARIBISHA MAONI YOYOTE YALE ILI NIYAFANYIE KAZI... AMA KAMA YUPO MTAALAM ASEME NIFANYEJE
AHSANTE..