Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kwa watu wa diagnosis,huenda ukapata msaada wa uhakika.Habar wajuzi wa mambo tatizo hilo linahusiana na nini ?
Msaada please kwa mtaalam
duh gari linaover heat likiwa kwenye mwendo ni ajabu......Habar wajuzi wa mambo tatizo hilo linahusiana na nini ?
Msaada please kwa mtaalam
Utaikaanga hio engine master. Awali ya yote kwenye mfumo wa upoozaji kuna shida. Angalia mfuniko wa radiator, feni kama inawaka na kuzima, level ya coolant ama maji. Au radiator enyewe inaeza kua na shidaHabar wajuzi wa mambo tatizo hilo linahusiana na nini ?
Msaada please kwa mtaalam
Habar wajuzi wa mambo tatizo hilo linahusiana na nini ?
Msaada please kwa mtaalam
Tatizo gari ina over heat, sensors zinapeleka info kwenye computer na kwa usalama wa engine wame design kukata moto. Je inawaka baada ya kupoa?
Habar wajuzi wa mambo tatizo hilo linahusiana na nini ?
Msaada please kwa mtaalam
Tatizo gari ina over heat, sensors zinapeleka info kwenye computer na kwa usalama wa engine wame design kukata moto. Je inawaka baada ya kupoa?
Yako mambo kadhaa ya kufuatilia.Yes inawaka na inatembea umbali mrefu kabla ya ku heat tena
maji yakipungua maana yake kuna mahali yanavuja.Maji yakipungua shida inakuwa ni nini
Ni kweli, ila kuna kuvujia kwa nje, ambayo unayaona yame/namwagika au kuvujia ndani, hii ni ama yaingie kwenye oil au yaungue na mafuta. Mbaya zaidi ni kuchanganyika katika oil. Hizo mbili unaweza kulitumia gari kwa uangalizi wa ziada ila hiyo ya kuchanganya ni lazima silinda hedi ifunguliwe haraka.maji yakipungua maana yake kuna mahali yanavuja.
Yes maji yanaweza kuvujia nje au ndani ya engine.Ni kweli, ila kuna kuvujia kwa nje, ambayo unayaona yame/namwagika au kuvujia ndani, hii ni ama yaingie kwenye oil au yaungue na mafuta. Mbaya zaidi ni kuchanganyika katika oil. Hizo mbili unaweza kulitumia gari kwa uangalizi wa ziada ila hiyo ya kuchanganya ni lazima silinda hedi ifunguliwe haraka.