Naomba msaada haraka jameni

Naomba msaada haraka jameni

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2010
Posts
2,591
Reaction score
1,616
Mke wangu ana mimba ya miezi 3 sasa juzijuzi usiku wa manane aliamka usiu akaona majmaji yanatiririka sehemu zake za siri. Nikahofu kuwa labda ujauziti umeharibika, nikampeleka hospitali akapimwa na akaona hakuna tatizo ila akaambiwa apunguze kazi. sasa leo tena imemtokea na bado mm nimechanganyikiwa sijui la kufanya maana nilipompeleka hospitali hakupewa dawa yoyote zaidi ya kuambiwa apunguze kazi. Kwa ufupi mke wangu kwa sasa hafany kazi yoyoe zaidi ya kazi za nyumbani. what can I do to make sure that the pregnancy prolongs?
Please help me in this matter!!!
 
hivi kumbe una mke ilikuwaje ukaishia morogoro na dada aliyekeketwa...ama!
 
hali hii kwa kweli inaninyima raha kabisa...pls help
 
pole sana,jaribu kumpeleka hospitali tofauti wamcheki tena...
 
hivi kumbe una mke ilikuwaje ukaishia morogoro na dada aliyekeketwa...ama!
achana na hiyo, ilikuwa ni kabla ya kuowa...kwa sasa nimetulia kama maji mtungini...
 
baada ya kuangalia hapa na pale nimeona ya kuwa discharge ni kitu cha kawaida ila maji sio kawaida... nakushauri umwone gynecologist issue inayoinvolve mke wako na mtoto ni very serious comment tu za hapa hazitoshi physical checkup ni bora. lakini as far as i have seen discharge ni kitu cha kawaida.
 
baada ya kuangalia hapa na pale nimeona ya kuwa discharge ni kitu cha kawaida ila maji sio kawaida... nakushauri umwone gynecologist issue inayoinvolve mke wako na mtoto ni very serious comment tu za hapa hazitoshi physical checkup ni bora. lakini as far as i have seen discharge ni kitu cha kawaida.

Thanks mkuu..hii inaniumiza kichwa mnomaana imejirudia na kwa kweli inanipa headache...I have to see gynaecologist..
 
baada ya kuangalia hapa na pale nimeona ya kuwa discharge ni kitu cha kawaida ila maji sio kawaida... nakushauri umwone gynecologist issue inayoinvolve mke wako na mtoto ni very serious comment tu za hapa hazitoshi physical checkup ni bora. lakini as far as i have seen discharge ni kitu cha kawaida.
Apunguze sana hizo unazosema kazi za nyumbani, ni muhimu kama inawezekana asifanye kazi kabisa kwani mimba ni changa, pia ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu.
 
hali hii kwa kweli inaninyima raha kabisa...pls help

mtego wa noti pole sana. For yo info kazi za nyumbani i nyingi sana na zinamchosha mama mjamzito. Jaribu kumpunguzia kazi asiiname sana wala kusimama muda mrefu. Ata akienda hosp hatapewa dawa maana c ugonjwa. Hope this will help.
 
mtego wa noti pole sana. For yo info kazi za nyumbani i nyingi sana na zinamchosha mama mjamzito. Jaribu kumpunguzia kazi asiiname sana wala kusimama muda mrefu. Ata akienda hosp hatapewa dawa maana c ugonjwa. Hope this will help.

thanks a lot tatiana...
 
Apunguze sana hizo unazosema kazi za nyumbani, ni muhimu kama inawezekana asifanye kazi kabisa kwani mimba ni changa, pia ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu.
inawezekana kabisa unalosema. siku ilipotokea, she had a busy day, same as today...she has been busy all the day, si unajua tena x-mass. let me try to check gynas
 
kama ni discharge na ni kitu cha kawaida basi hakina dawa... lakini mpeleke akachekiwe upate second opinion

naona kama kuna post uliweka halaf umeiondoa...ilikuwa inasema kuhusu kuwa hiyo discharge ni cleaning of the vagina.. hii inawezekana kwa mjamzito?maana wale walikuwa ni kama ndio wameanza kupata hedhi.
 
kwani hili tatzo laweza kuendelea mpaka kitakapofika kipindi cha kujifungua?
 
Rudi tena hospitali haraka sana, ikiwezekana hospitali tofauti na ile ya kwanza. Kama bado ushauri ni wa kupumzika basi apumzike kweli na kuacha kabisa kazi nzito na ambazo inambidi asimame kwa muda mrefu sana na pia ainame kwa muda mrefu. Kama unaweza kupata mtu wa kuwasaidia kazi za nyumbani basi itakuwa ni vizuri zaidi ili kuhakikisha ujauzito wenu unafikisha muda unaostahili. Kila la heri.

MERRY XMAS
 
Rudi tena hospitali haraka sana, ikiwezekana hospitali tofauti na ile ya kwanza. Kama bado ushauri ni wa kupumzika basi apumzike kweli na kuacha kabisa kazi nzito na ambazo inambidi asimame kwa muda mrefu sana na pia ainame kwa muda mrefu. Kama unaweza kupata mtu wa kuwasaidia kazi za nyumbani basi itakuwa ni vizuri zaidi ili kuhakikisha ujauzito wenu unafikisha muda unaostahili. Kila la heri.

MERRY XMAS

thanks mkuu...i am going to follow your advice. thanks a lot
 
Back
Top Bottom