pole mkuu,ila napata tabu kidogo,yaani unaomba kazi ya usimamizi wa mauzo au kiwandani.....yaani kirahisi rahis tu, upate shavu la kusimamia mauzo,yaani uwe boss kuliko uliowakuta.....najua kunasehemu umesema na kazi yoyote,ila unaonekana unapenda kazi ya wewe kuwa boss, any way lengo langu ni kukuwek sawa tu kuwa badala ya kutaka kazi ya kuwa msimamizi, omba kwanza kazi ya kuuza bidhaa,ukifanya vizuri ni rahisi kupewa nafasi ya kuwa msimamizi wa mauzo ya hiyo bidhaa,nisamehe ndugu kama utanichukulia negative. cha msingi wadau tumsaidie kw yule anaweza kumpa msaada.