Una cheti? anyway iko hivi, wenye sifa ya kusoma vyuo kupitia tcu ni kuanzia f6 na wenye diploma au degree holders wanaotaka kusoma master n.k! afu TCU huwa wana muda maalum wa kuruhusu watu kufanya application
Mf kuanzia april kwa wasio form 6 na f6 huanza baada ya kumalza pepa..isitoshe kuna vocha ya TCU inauzwa nbc bank elf 50 ndo unaitumia kufanyia applctn! UMEELEWA?