Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
Mimi si mtaalam sana wa computer. Nimeweka Ubuntu 10.10 kwenye computer yangu sasa nataka ni-install media player software ya Exaile-0.3.2.0 nimeshai-download ila sijui nianzie wapi. Nimejaribu ku-google ila maelezo niliyopata nimeishia kwenye "terminal" sasa namna ya kuandika hizo code ndio nimeshindwa. Naombeni msaada tafadhali.
NBPreparing your system
First you need to install the following packages with the following command
sudo apt-get install python-pyvorbis python-pysqlite2 python-mutagen python-pyogg python-elementtree
Install Exaile media player in Ubuntu Edgy
First you need to download the latest version of Exaile media player .deb using the following command
wget http://www.exaile.org/files/exaile_0.2.7_i386.deb
Now you have exaile_0.2.7_i386.deb package you need to install this package using the following command
sudo dpkg -i exaile_0.2.7_i386.deb
Wakuu asanteni kwa maelezo mliyonipa, kwa kufafanua zaidi ni kwamba natumia modem kwa hiyo nimeshindwa kuitumia kwenye computer niliyoweka ubuntu, hivyo basi nime-download file linaitwa exaile-0.3.2.0.tar.gz kutoka kwenye computer nyingine na kuliweka kwenye deskotop ya computer yenye Ubuntu. Maelezo niliyoyapata kutoka google nime-type kwenye terminal hivi:-
sudo dpkg -i exaile-0.3.2.0.tar.gz t
hen nika-press Enter ikanidai password nikaingiza password nazotumia ku-login then nika-press Enter ikaandika "cannot access archive: No such file or directory" hapo ndipo nilipoishia.
Sababu za kutaka kutumia Exaile badala ya Rythmbox, inadai haina mp3 plugins pia kutaka kujifunza jinsi ya kufanya installation kwenye Ubuntu.
Connect kwenye internet halafu fungua mp3 file kutumia Rythmbox, kitakachofuatia ni kukuamibia hakuna plugins na tokea hapo itaconnect kudownload hizo plugins.
Mkuu asante kwa maelezo yako. Ila nimesema natumia modem hivyo nimeshindwa ku-connect computer inayotumia ubuntu kwenye internet.
Modem aina gani na ISP wako ni nani kaka?
ni huawei E160x ambayo ipo unlocked ambayo huwa natumia vodacom au airtel
allow mobile broadband ita-detec
ila mara nyingine itaitambua modem yako kama removable media badala ya modem, chakufanya eject au safely remove ile removable media part ya hiyo modem (mobile connect)
Wakuu asanteni kwa maelezo mliyonipa, kwa kufafanua zaidi ni kwamba natumia modem kwa hiyo nimeshindwa kuitumia kwenye computer niliyoweka ubuntu, hivyo basi nime-download file linaitwa exaile-0.3.2.0.tar.gz kutoka kwenye computer nyingine na kuliweka kwenye deskotop ya computer yenye Ubuntu. Maelezo niliyoyapata kutoka google nime-type kwenye terminal hivi:-
sudo dpkg -i exaile-0.3.2.0.tar.gz t
mkuu hii command sidhani kama inaweza kufanikiwa sababu hata kwa kutumia logic ya windows lazima utaje path kamili ya mahali faili file. kaa umesema lipo kwenye desktop je una uhakika hiyo ndiyo command sahihi
mkuu nilijaribu pia hii ambayo nikiangalia location ya file ndipo lilipo, /home/name/Desktop sudo dpkg -i exaile-0.3.2.0.tar.gz ikaandika bash: /home/name/Desktop: is a directory
hiyo ni gz file na siyo deb kwa hiyo huwezi tumia dpkg. change dir to where the file is like: cd /home/jaluo/Downloads na upige ls *.gz uone kama hilo file lipo. Kama lipo then good!piga command hizi kwa kufuata mpangilio:<br />
tar -xzf xxxxx.tar.gz<br />
cd xxxxx/<br />
./configure<br />
make<br />
sudo make insttall<br />
<br />
pia ubuntu inadetect modem automatically na kuiadd ktk netwrk manager. Fuata procedure hiia.<br />
Right click network manager icon (kale ka icon kanakuonesha lan iko connected) na uclick edit. Bonyeza tab ya wireless broad band halafu bonyeza add. Fuata step na sehemu usizoelewa acha na click forward mpaka finish. Then ktk options za connection manager itaongezeka na each time ukiiweka modem itadetect<br />
<br />
mwisho acha uchoyoo we mjaluo, mtu akiandika post ya msaada mpe thanks!