Kwa kuanzia ungetafuta "event planners" wa kuungana nao ili wewe uwapatie equipment wakati unajenga network yako. Pia usidharau the power of word of mouth. Badala ya kutoa mchango kwenye sherehe za wenzio, jitolee muziki na hivyo vifaa vyako. Kama gharama ni mf laki 2, wewe unaweza kusema utatoa laki 1 na nyingine kamati itoe ili vyombo vyako vitoke... sasa hapo kazi kwako kuhakikisha vifaa vina namba yako na jina la biashara yako ili mwenye kutafakari shunguli in the near future achukuw kirahisi.
Pia makampuni ya maekrting and events promotion ni mazuri kwa kuanzia. Again, kama unajitangaza kupitia vyombo vyenyewe na quality ni nzuri, next time wateja wataanza kukutafuta wenyewe. Kila la heri!