Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

Naomba Msaada Juu ya Kuandaa Majani Chai ya Mlimao

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
Heshima zenu wote.
Niliwahi kusikia ya kwamba ndugu zangu Wakristo - Wasabato (samahani kwa kutaja dini, lakini kwa nia njema kabisa) huwa wanafundishwa mbinu za mapishi ikiwamo kuandaa vyakula kwa njia ya kiasili.
Mimi naomba ,kutoka kwa yeyote anayejua,maelezo juu ya mbinu za kutengeneza majani chai kutokana na majani ya mlimao. Naamini wengi wenu mnaweza, naomba kuwakilisha.
 
Unayachuma na kuyaosha then unachemsha na maji na sukari, kama nakumbuka vizur enz zile at ma grany kule kijijini
 
Hata mimi nasubiri zaidi jinsi ya kutengeneza hayop majani. tuepukane na haya ya viwandani.

Mwenye kujua zaidi plz
 
Niliwahi kusikia ya kwamba kuna utaalamu wa kuyaandaa ili yadumu muda mrefu.
Wadau tunaomba ufafanuzi wenu! Elimu ya kuboresha vyakula asilia ni muhimu sana.
 
Hiyo inaitwa lemon peel, wana chukua maganda ya chungwa/limao/ndimu/chenza au Balungi unayaanika mpaka yanakauka na kubadilika mpaka kuwa rangi ya brown, then unayaponda(grinding) mpaka kuwa unga. Unaweza tumia sio tu kama chai bali katika recipes mbalimbali
 
Back
Top Bottom