interg can2
Member
- Oct 20, 2016
- 5
- 7
Habari wadau!
Naombeni msaada juu ya vitu vitatu kama kuna mtu yeyote mwenye ujuzi juu yake
1. Forwading company yenye gharama nafuu kidogo?
2. Secondly, mfano nimenunua bidhaa kutoka ama shopping market tofauti ie(aliexpress,ebay,amazon) kwakivipi naweza kuzikusanya ili hii mizigo yote iwe shipped na forwading company moja kwa muda sawa?
3. Mwisho pia mfano nimenunua bidhaa kutoka kwenye duka tofauti ndani ya Market moja mf: Aliexpress nawezaje kuzikusanya zikawa shipped na Forwading Company moja ile zinifikie kwa pamoja?
Naombeni msaada juu ya vitu vitatu kama kuna mtu yeyote mwenye ujuzi juu yake
1. Forwading company yenye gharama nafuu kidogo?
2. Secondly, mfano nimenunua bidhaa kutoka ama shopping market tofauti ie(aliexpress,ebay,amazon) kwakivipi naweza kuzikusanya ili hii mizigo yote iwe shipped na forwading company moja kwa muda sawa?
3. Mwisho pia mfano nimenunua bidhaa kutoka kwenye duka tofauti ndani ya Market moja mf: Aliexpress nawezaje kuzikusanya zikawa shipped na Forwading Company moja ile zinifikie kwa pamoja?