Ahsante mkuu kwa ushauri apo umenenaFungua genge pasipokuwa na genge na uhitaji wa genge ni muhim kwa wakazi ea eneo hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaFungua genge pasipokuwa na genge na uhitaji wa genge ni muhim kwa wakazi ea eneo hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda ilala point vinguo na skin jeans za wadada wakati boom limetoka kauze chuoWana jamvi naomba niwasilishe mada hii kama kijana ambae nataka na napenda sana kufanya biashara changamoto kubwa niliyokua nayo.
1. Ni biashara gani ya kufanya
2.eneo la kufanyia biashara
Wakuu Mimi still ni mwanafunzi wa chuo na Nina Stoke ya 700k ndo nauliza nifanye biashara gani ili nijikwamue nipo dar-es-salaam msaada wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app