Naomba kujuzwa, hivi kama mtu alipata period tarehe20 august akapata tena tarehe20 sept. mzunguko wake unakua niwa cku ngap? 28 au zaid? na ovulation inaweza anzia tarehe zipi?
Mh..kweli?
OK..
Kwa kwaida mwanamke anaweza kuwa na mizunguko ya aina
Tatu . Mfupi: 21day
Wastan :28 day
Mrefu. :35day
Kumbaka hii ni wastan tu sio lazima iwe exactly kwa hiyo tare 20th agust -20th sept kwa wastan huyu mtu tuna muweka hapo kwenye watu wenye mzunguko wa wastan siku 28
NB
Ovulation hutokea mara nyingi siku ya 13.8-14.4 .Asilimia zaidi ya 89 ya wanawake wote wapo hivo.
Na hizi siku mara nyingi zipo konstant
Kinacho badilisha mzunguko ni huko mbele baada ya ovulation na si huku nyuma kabla ya ovulation
Kwa hiyo basi
Ukichukua wastant wa hizo siku mbili hapo unaweza kupata karibia 14 .2. Kwa hiyo 14+7 = 21 wastan japo Inaweza kuenda mpaka 21-24.
Tena ukichukua 14+14=28 wastan mpaka 29-30 .Halafu ukichukua 14+21 =35 ndo unapata huo mzunguko mrefu wenye siku 35.
Kwa hiyo ukiangalia vizuri hiyo mizunguko huwa ina pishana kwa wastan wa siku 7