Naomba msaada kuhusu kilimo cha mpunga

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
529
Reaction score
483
habari wana jf naomba msaada wenu kama kuna mtu anaelima kilimo cha mpunga shadidi nahitaji kuingia katika hiki kilimo kwani nimeona ni chenye tija na manufaa.
naomba kama unafanya hichi kilimo ni pm mawasiliano yako.
 
habari wana jf naomba msaada wenu kama kuna mtu anaelima kilimo cha mpunga shadidi nahitaji kuingia katika hiki kilimo kwani nimeona ni chenye tija na manufaa.
naomba kama unafanya hichi kilimo ni pm mawasiliano yako.
Mimi nimewahi kufanya one time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…