Naomba msaada kuhusu kusafirisha mizigo kwa meli

mareeTZ

Senior Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
171
Reaction score
179
Wakuu heri ya mwaka mpya. Jamani kuna jambo linanishinda Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi (siyo chakula). Sasa kuna hii ishu ya shipping kusafirisha mizigo na meli. Nataka msaada nijue wapi pa kuanzia mama vile ,ni kampuni gani zinahusika, Gharama, mzigo huchukua siku ngapi kufika, usalama wa mzigo n.k.
 
Heading yako umeweka shopping watu wakukusaidia wanaweza wasione
 
Mods washabadilisha. Naimani wadau watakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…