Wakenya hawajui Kiswahili. Vitolea machozi should be organs biologically. Yaani tear glands. Sisi tunayaita mabomu sababu yanalipuliwa kabla ya kusambaza huo moshi au gesi inayopelekea kutoka machozi
Wakenya hawajui Kiswahili. Vitolea machozi should be organs biologically. Yaani tear glands. Sisi tunayaita mabomu sababu yanalipuliwa kabla ya kusambaza huo moshi au gesi inayopelekea kutoka machozi