Naomba msaada kuhusu mayai ya kienyeji

Naomba msaada kuhusu mayai ya kienyeji

Damian J Ntundagi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2017
Posts
1,652
Reaction score
2,355
Habari zenu ndugu wafugaji naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua mayai ya kuku wa kienyeji pure yanayofaa kutotoreshwa kwenye incubator maana nikiweka mayai 100 yameanguliwa 42 tu.
 
Back
Top Bottom