Naomba Msaada kuhusu Mpaka wa Tanzania na Rwanda

Adili

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2007
Posts
3,138
Reaction score
1,120
Wanajamvi,

Nitashukuru kujua mpaka kati ya Tanzania na Rwanda unapitia wapi hasa. Zamani maziwa magharibi mwa Karagwe tulikuwa tukiyagawana lakini sasa naona yote yamekimbilia Rwanda. Haya marekebisho yalitokea lini?

Hasanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…