Naomba msaada kuhusu mwajiri wangu

Naomba msaada kuhusu mwajiri wangu

Joined
Dec 13, 2012
Posts
18
Reaction score
6
Wanajamii forum,naombeni kuuliza.Km mtu unataka kuandika barua ya kuacha kazi na mshahara huwa nalipwa tarehe 24.Je,barua naweza kuipeleka kwa mwajiri wangu tarehe 23? Au ni 24? Kwa malengo nisilipwe mshahara wa mwezi husika na nimlipe mwajiri.Msaada wa ushauri wapendwa.
 
Andika 24hrs resignation hiyo trh 24 halafu hiyo Pesa usiichukue iwe ni malipo ya hiyo 24hrs resignation.
 
ulitakiwa uwape notice ya mwezi mmoja kabla kwamba baada ya mwezi mmoja unaacha kazi na mshahara ungechukua hiyo tarehe
 
Back
Top Bottom