Vipi kuhusu macho kuvimba coz nimewacheki mida ya jioni Kuna baadhi yao macho yao yamevimba.
Ungetuma picha tuone uvimbe uko vipi mara nyingi uvimbe unaweza kua ni
1.upungufu wa vitamin
2.ndui (chicken pox) -uvimbe mdogo mdogo usoni kama vipere
3.au mafua (infectious coryza) uvimbe ulojaa maji unaombatana na kutoa fluids au mafua kweny pua na kumua kwa shida
Kulegemea miguu
Pia upungufu wa madini hasa calcium phoshphorus na magnesium yanahusika
Je unatumia chakula gan? Unanunua au kutengeneza mwenyewe?
Endelea kuwapatia multivatimins na ikiwezekana wapatie antibiotcs kama OTC 20% Kupunguza hzo infections
Maintain usafi kwenye mabanda yako kwa asilimia zote
Hakikisha unawapatia maji safi na chakula kisafi (chakula kama unaacha kinachacha kinaweza kusababsha ungnjwa unaitwa aspergilosis ambao ndo miguu inapata paralysis wanashindwa kusimama na kufa )
Unaweza kuwatenga kuku waliokwsha athirika kuepusha maambukizi mapya
Mwisho mtafute mtaaram wa mifugo alie karibu yako upate ushauri zaidi
Au nenda duka la madawa ya mifugo utapata ushauri na dawa zake