kindboy
Senior Member
- Dec 11, 2010
- 142
- 28
Ndugu wana JF natamani kuingia rasm kwenye kilimo cha matunda na mboga mboga (Hotculture)
Ningependa kupata japo kwa ufupi tu, namna ya uendeshaji wa kilimo cha Green Beans,Green Peper na Watermelon pia na masoko yake kwa ujumla, lakin pi ni katika ukanda upi mwa tanzania yanastawi bila shida. natambua kunachangamoto zake pia ningependa zifahamu.
Ningependa kupata japo kwa ufupi tu, namna ya uendeshaji wa kilimo cha Green Beans,Green Peper na Watermelon pia na masoko yake kwa ujumla, lakin pi ni katika ukanda upi mwa tanzania yanastawi bila shida. natambua kunachangamoto zake pia ningependa zifahamu.