Habari zenu wakuu,
Please naombeni msaada, nilijisajili ktka chuo amabacho sjapangiwa na TCU, so mkopo umeingizwa chuo nilichopangiwa na TCU amabcho sasa hiv nataka niende.
Je ! nitasajiliwa kwa kua nishasajiliwa na chuo kingine? au niende ku cancel nilipojisajili mwanzo ili wanisajili.