Naomba msaada kumwelewa Lisu yeye akipewa pesa na CCM hajalamba asali za CCM wenzie wakipewa wamelamba asali ya CCM
Mfano kwenye mchango wa kuchangia ununuzi wa gari yake binafsi CCM ilitoa milioni tano kumchangia na alipokea kwa shukrani sana
Wenzie huko Chadema wakichangisha CCM wakatoa anaenda huko na huko kutangaza kuwa wamelamba asali ya CCM hawafai kuwa viongozi Chadema nk
Hii ni kitu gani? Mnaomwelewa Lisu na hiyo falsafa yake ya kulamba asali nifafanulieni
Hizo pesa alizopokea CCM hakulamba asali ya CCM?
Mfano kwenye mchango wa kuchangia ununuzi wa gari yake binafsi CCM ilitoa milioni tano kumchangia na alipokea kwa shukrani sana
Wenzie huko Chadema wakichangisha CCM wakatoa anaenda huko na huko kutangaza kuwa wamelamba asali ya CCM hawafai kuwa viongozi Chadema nk
Hii ni kitu gani? Mnaomwelewa Lisu na hiyo falsafa yake ya kulamba asali nifafanulieni
Hizo pesa alizopokea CCM hakulamba asali ya CCM?