89N Member Joined Jun 20, 2017 Posts 25 Reaction score 11 Nov 22, 2020 #1 Msaada Wana jamvi jinsi ya kuandika barua na kufanyiwa recategorization kazini pls tusaidiane kidogo.
Msaada Wana jamvi jinsi ya kuandika barua na kufanyiwa recategorization kazini pls tusaidiane kidogo.
Blessed Keinerugaba JF-Expert Member Joined Nov 16, 2011 Posts 4,754 Reaction score 4,746 Nov 22, 2020 #2 Recategorisation iko katika jurisdiction ya mwajiri kutegemeana uwepo wa bajeti husika!
boda JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 341 Reaction score 290 Nov 22, 2020 #3 Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda!
Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda!
Masiya JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 7,602 Reaction score 7,332 Nov 23, 2020 #4 Mwone HRO wako kwa maelezo zaidi.
89N Member Joined Jun 20, 2017 Posts 25 Reaction score 11 Nov 23, 2020 Thread starter #5 Masiya said: Mwone HRO wako kwa maelezo zaidi. Click to expand... Thanks
89N Member Joined Jun 20, 2017 Posts 25 Reaction score 11 Nov 23, 2020 Thread starter #6 boda said: Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda! Click to expand... Niko mwl sec, naenda maendeleo ya jamiii, Ila nmeelekezwa kutuma barua tamisemi,
boda said: Unatoka Kada gani na unaenda ipi? Je Ikama ikoje katika Ofisi hiyo kuna unitaji wa mtu katika Kitengo/Idara unayo taka kwenda! Click to expand... Niko mwl sec, naenda maendeleo ya jamiii, Ila nmeelekezwa kutuma barua tamisemi,