Naomba msaada kwa anayejua hospitali nzuri za magonjwa ya ngozi hapa Dar

Naomba msaada kwa anayejua hospitali nzuri za magonjwa ya ngozi hapa Dar

Dawa ilikuwa Rahisi tu. Alinieleza ni tatizo gani analo nikamuelekeza dawa ya kutumia.. Ndogo dogo tu inauzwa 8000- 15000 pharmacy...keshapona huyu ndugu kizito
 
Dawa ilikuwa Rahisi tu. Alinieleza ni tatizo gani analo nikamuelekeza dawa ya kutumia.. Ndogo dogo tu inauzwa 8000- 15000 pharmacy...keshapona huyu ndugu kizito
DAWA GANI MKUU Muracha ..ILA NGOJA NIENDE NA HUYO PROF.
 
Back
Top Bottom