Habari wanajamvini...
naomba msaada kwa hili ... hivi unaweza kujua unamimba ndani ya siku 13? Au nimewahi kupima?? Maana UPT unaniambia negative? Au nisubilie wiki ingine zaidi???
Uache kuloweka. Manake unaishia kuwa na wasiwasi kama fundi cherehani. Unafahamu dalili za HIV unaweza kuzitambua mwenyewe kuanzia siku 14 toka maambukizi? Jisomee uongeze maarifa
Uache kuloweka. Manake unaishia kuwa na wasiwasi kama fundi cherehani. Unafahamu dalili za HIV unaweza kuzitambua mwenyewe kuanzia siku 14 toka maambukizi? Jisomee uongeze maarifa